Mama Ivan.
Akifanya mahojiano maalum kupitia kipindi cha Exclusive Interview cha Global TV, miongoni mambo aliyoyafafnua ni kuhusu mbunge aliyedai bungeni kuwa R.O.M.A alimtukana mkuu, huku akieleza kuwa jambo hilo si la kufanywa na msanii. Kwenye mahojiano hayo, Mam Ivan amefungukia hilo.
Mama Ivan ameshukuru namna wimbo huo ulivyopokelewa na mashabiki wa R.O.M.A ambayo yamewashangaza wengi na kuvunja rekodi kwa muda mfupi ikiwa ni pamoja na kuwashukuru watanzania wote walioungana naye na kumfariji wakati wa matatizo.