Vitisho na mashambulizi dhidi ya wahamiaji vyazidi kuonegezeka nchini Ujerumani
Mashambulizi dhidi ya wahamiaji yaongezeka nchini Ujerumani katika kipindi cha miezi mitatu ya mwanzo ya mwaka 2017.
Taaraifa zinaarifu kuwa zaidi ya matukio ya 100 yameripotiwa nchini Ujerumani.
Kituo cha habari cha DPA kimenukuu wizara ya mambo ya ndani ya Ujerumani wakati wa maswali na majibu katika baraza la bunge kuwa katika miezi mitatu ya mwanzo ya mwaka 2017 zaidi ya matukio 318 ya chuki dhidi ya wahamiaji yameripotiwa nchini humo.
Mbunge mmoja wa mlengo wa kushoto Ulla Jelpke amesema kuwa wahamiaji hushambuliwa mara kwa mara na wafuasi wa kinazi.
Mashambulizi dhidi ya wahamiaji yaongezeka nchini Ujerumani katika kipindi cha miezi mitatu ya mwanzo ya mwaka 2017.
Taaraifa zinaarifu kuwa zaidi ya matukio ya 100 yameripotiwa nchini Ujerumani.
Kituo cha habari cha DPA kimenukuu wizara ya mambo ya ndani ya Ujerumani wakati wa maswali na majibu katika baraza la bunge kuwa katika miezi mitatu ya mwanzo ya mwaka 2017 zaidi ya matukio 318 ya chuki dhidi ya wahamiaji yameripotiwa nchini humo.
Mbunge mmoja wa mlengo wa kushoto Ulla Jelpke amesema kuwa wahamiaji hushambuliwa mara kwa mara na wafuasi wa kinazi.
