VIDEO: Makonda: Sitaipa ushirikiano Benki yoyote

"Itafika mahala watu wa benki watamuona mkuu wa Mkoa hawapi ushirikiano lakini nirudie mbele ya hadhara hii, Sitaipa ushirikiano benki yoyote ile kuuza nyumba ya mwananchi wa Mkoa wa Dar es salaam bila kufuata utaratibu na sheria zilizowekwa" Mkuu wa Mkoa  Dar es salaam Paul Makonda

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE


Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items