VIDEO: "Nipo tayari kuitwa mhalifu wa aina yoyote" Mgombea Ubunge CHADEMA

Mgombea Ubunge jimbo Kinondoni kupitia CHADEMA Salum Mwalimu amesema kutokana na kitendo kinachoendelea cha mchezo mchafu unaoendelea katika vituo vya kupigia kura yupo tayari kuitwa mhalifu wa  aina yoyote ile.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI...... USISAHAU KUSUBSCRIBE

Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items