VIDEO: 'Tumeshajipa Kibali Cha Kutangulia Mbele Za Haki' MBOWE

Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, Freeman Mbowe amewaambia Polisi kuwa wao tayari wameshajipa kibali cha kutangulia mbele za haki. Mbowe aliyasema hayo wakati akihutubia wananchi katika ufungaji wa kampeni Jimbo la Kinondoni.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE