Rais Putin azungumza na rais wa Iran Hasan Ruhani kuhusu Syria
Rais wa Urusi Vladimir Putin azungumza kwa njia ya simu na rais wa Iran Hassan Ruhani kuhusu mashambulizi ya anga yalioendeshwa na jeshi la Marekani na washirika wake nchini Syria.
Taarifa zilizotolewa na baraza la bunge la Urusi limefahamisha kuwa iwapo mashambulizi yataendelea nchini Syria basi athariza zitaathiri ukanda mzima.