VIDEO: Dudubaya amtahadharisha Muna na kifo, amchana Nay Wamitego kuhusu Shilole



Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva nchini, Dudubaya amedai kwa kitendo alichokifanya Muna kuzungumza na vyombo vya habari kabla ya 40 ya mtoto wake Patrick sio kizuri. Pia rapper huyo amemchana Nay Wamitego kwa kumshambulia Shilole kwa maneno yake aliyomtolea Muna.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE