Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, ameeleza kuwa atawafunga Lulu, Majay, Lemutuz na Meya kama wasipofunga ndoa mwaka huu. Mhe Makonda amedokeza kuwa mipango ya ndoa ya Lulu na Majay inaendelea vizuri.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE