VIDEO: Tuhuma nzito zafikishwa tume ya uchaguzi ni kashfa ya uzinzi na maneno ya matusi


"Tunayo malalamiko na tumeyapeleka kwa msimamizi wa uchaguzi jimbo la Ukongo ambayo  Mbunge wa Mtera Livingstone Lusinde kutoa maneno ya kashfa na matusi aliyoyatoa kwnye mkutano wa ufunguzi wa kampeni wa CCM ambapo amesema mwnyekiti wetu wa Ilala Makongolo Mahanga kuwa ni mzinzi  na anatembea na wake za watu" CHADEMA

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI......USISAHAU KUSUBSCRIBE

Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items