Mshambuliaji wa zamani wa timu ya taifa ya Cameroon na vilabu vikubwa Ulaya ikiwemo Barcelona, Inter Milan, Chelsea n.k, Samuel Eto'o, amefanya clinic ya watoto asubuhi ya leo (Alhamisi) katika ufukwe wa Ramada Hotel jijini Dar es Salaam.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE