INAHUZUNISHA: Anaomba msaada kwa Rais Magufuli (+VIDEO)


Mkazi wa Wilaya ya Arumeru Mkoani Arusha Anna Lomnyaki ambaye ni mjane amewaomba watanzania wakiwemo viongozi wenye mioyo ya huruma kujitokeza kumsaidia kutokana na ulemavu wa mwanae ambaye hajiwezi.

TAZAMA FULL HAPA, PIA SUBSCRIBE 
Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items