Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeendelea Jijini Dodoma, Ambapo kikao cha tano Mkutano wa 13 kimeongozwa na Mwenyekiti wa Bunge, Andrew Chenge. Kipindi cha Maswali na Majibu kiliendelea na wabunge walihoji maswali na kujibiwa na Serikali:
Mwenyekiti wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Andrew Chenge akiongoza kikao cha tano cha Mkutano wa 13 wa Bunge leo jijini Dodoma
|
Mbunge wa Hanang’i Mhe. Mary Nagu akichangia hoja kuhusu Mpango wa Taifa wa Maendeleo wa mwaka 2019/2020 katika kikao cha tano Mkutano wa 13 wa Bunge leo jijini Dodoma |