VIDEO: Serikali imedhamiria kuboresha maslahi ya wananchi - Waziri Mkuu

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali imedhamiria kuboresha maslahi ya watumishi wote wa umma wakiwemo wa kada ya afya kupitia Bodi ya Mishahara na Motisha baada ya kukamilisha uhakiki wa taarifa za kiutumishi.


TAZAMA FULL VIDEO...KISHA USISAHAU KUSBSCRIBE....

Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items