Basi la Dar Express lapata ajali nchini Kenya


Basi la Kampuni ya Dar Express limepata ajali ya kupinduka leo asubuhi, Athi River Kitengela nchini Kenya. Basi hilo lilikuwa ninatoka Nairobi  kuelekea Dar es salaam, bado hajajulikana idadi ya majeruhi na kilichosababisha ajali hiyo.

Mpya zaidi Nzee zaidi