Mikel Obi arudi kukipiga Uingereza

Mchezaji John Obi Mikel afanyiwa vipimo vya afya kwenye klabu ya Middelsbrough baada ya kukubali vipengele binafsi vya kujiunga na klabu hiyo Uingereza.

Mikel mwenye umri wa miaka 31 aliwahi kucheza kwenye Ligi kuu ya Uingereza akiwa na klabu ya Chelsea na kunyakua ubingwa wa ligi kuu mara ,mbili akiwa na timu hiyo.

Anategea kujiunga na klabu ya Middeldbrough kwa mkataba wa muda mfupi.
Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items

Kilimo cha Bamia