Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Dkt. Hamis Kigwangalla ametembelea banda la Tanzania katika maonesho ya kimataifa ya Feria Internacionale de Turismo (FITUR) yanayofanyika Madrid nchini Hispania na kuzungumza na wadau wa utalii kutoka Tanzania wanaoshitiki maonesho hayo.