Wanafunzi zaidi ya elfu kumi na sita ambao wanaingia kidato cha kwanza mwaka huu mkoani Tabora wanakabiliwa na upungufu wa vyumba vya madarasa zaidi ya Miambili hamsini ilikuweza kukizi ongezeko la huku asilimia sabini na tano ya wanafunzi elfu kumi na moja watoro sugu na rejareja waliojaribu kuacha masomo wamerejea tena shuleni na hivyo ongezeko hilo limesababisha kuwepo kwa upungufu mkubwa wa vyumba vya madarasa.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI......USISAHAU KUSUBSCRIBE