Mkuu wa mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri ameagiza Mamlaka za kinidhamu kuwasimamisha kazi Afisa Ushirika wa Halmashauri ya wilaya ya Uyui, kutokana na kushindwa kutekeleza baadhi ya majukumu ya kazi yake ikiwemo kuwaacha wakulima waendeshe kilimo cha Pamba pasipo kufuata kanuni za kilimo cha zao hilo.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE