Baada ya muigizaji Rammy Galis kufanya vizuri na filamu ya "Red Flag" mpaka kupata nafasi ya kwanza kuonyeshwa katika uzinduzi wa kipengele cha filamu za kigeni katika tamasha la Sinema Zetu International Film Festival 2019 uliofanyika katika ukumbi wa City Mall jijini Dar es Salaam, muigiaji huyo ameahidi kuachia filamu nyingine mpya baada ya miezi miwili ambayo ameitengenezea nchini Nigeria na imepewa jina la "Her Shoes".
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE