Msanii Shilole amemtaka Diamond kufunga ndoa na mama watoto wake Zari The Bosslady na sio Tanasha kama mwenyewe alivyoweka wazi. Shilole ametaja sababu za kumkubali Zari ni kuwa mwanamke mrembo na mjasiriamali.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE