LIVE: Sakata la Wavuvi, Waziri Mpina apiga msasa kuhusu sheria za uvuvi
byMuungwana Blog 3-
0
Sakata la wavuvi kukutwa na changamoto za kisheria kufanya shughuli zao za uvuvi, ambazo zinawaingizia kipato waziri wa mifugo na uvuvi Mh. Luhaga mpina weka mambo sawa kukaa na kujadili na wavuvi ili kufanya marekebisho ya sheria za uvuvi. TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI, PIA SUBSCRIBE