Nyumbani Matokeo ya Ligi Kuu Bara leo byMuungwana Blog 2 -2/01/2019 07:00:00 PM 0 Ligi Kuu Tanzania Bara imeendelea tena leo kwa michezo mbalimbali iliyopigwa kwenye viwanja tofauti. Yafuatayo ndio matokeo ya mechi hizo: Kagera Sugar 0-2 Tanzania Prisons Ruvu Shooting 1-0 Mbeya City Stand United 0-0 KMC Facebook Twitter