Wizara ya sayansi na teknolojia , mawasiliano chini ya uongozi wa Paula Ingabire nchini Rwanda amesema kwamba tayari mazungumzo yameanza na sekta binafsi kwa lengo la kuanzisha kiwanda cha kwanza cha utengenezaji wa simu za kisasa.
Kulingana na taarifa zilizotolewa na vyombo vya habari nchini Rwanda, kiwanda hicho itakuwa ni hatua kubwa katika sekta ya teknolojia na mawasiliano katika ulimwengu wa kisasa ambao umekuwa kama kjiji kimoja.