Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wa Babati Fortunatus Fwema, amesema wameamua kumuondoa aliekuwa mwenyekiti baada ya tume iliyoundwa na mkuu wa mkoa wa Manyara Alexander Mnyeti kubaini ukweli wa tuhuma zinazomkabili.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE