VIDEO: Kuhusu lissu kugombea Urais, Salum mwalimu asema haya, Acharuka kisa ofisi

VIDEO: Kuhusu lissu kugombea Urais, Salum mwalimu asema haya, Acharuka kisa ofisi

Naibu katibu mkuu Chadema Zanzibar, salum mwalimu amesema kuwa chama chao hakijawahi kumzuia mtu kugomea urais ila huwa wanaangalia utaratibu wao wa namna ya kutangaza nia, ambapo amesema kuwa iwapo lissu atania ya kutangaza nia atafuata sheria.


TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI...........USISAHAU KUSUBSCRIBE.............

Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items