Zaidi ya maboma kaya ishirini mbuzi na vyakula katika kijiji cha mfereji wilaya ya monduli yameteketea kwa kuchomwa moto na watu wanaodaiwa kutoka wilaya ya arumeru kwenye mgogoro wa kugomea mpaka na eneo la malisho kwa watu wa jamii ya kifugaji.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE