Mwenyekiti wa Chama cha Mapiunduzi CCM na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, ametimiza ahadi yake ya kutoa shilingi milioni mia mbili kama alivyoahidi jana kwa wafanyakazi na watumishi wa kampuni inayomilikiwa na chama cha mapinduzi ya afrika media group limited yenye vituo vya habari vya runinga na radio ikiwemo channel ten,dtv na ctn pamoja na radio ya magic fm.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE
