VIDEO: Tazama Magoli ya Taifa Stars vs Uganda (3-0)


Hatimaye Taifa Stars imefanikiwa kufuzu katika michuano ya AFCON mwaka huu nchini Misri baada ya kuifunga Uganda mabao 3-0 katika mchezo uliochezwa uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE
Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items