Picha: Lema uso kwa uso na Rais Magufuli


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amehudhuria kutoa heshma za mwisho kwenye msiba  wa marehemu Tryphosa Simon Sanga ambaye ni Dada wa Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa aliyefariki juzi jijini Dar es Salaam. Katika kuhudhuria msiba huo amekutana na kuzungumza jambo na Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema wakati akitoka.



Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items