Tanzania uso kwa uso na Senegal ya Sadio Mane AFCON2019
byMuungwana Blog 2-
0
Tanzania yaangukia Kundi C ikiwa pamoja na mataifa ya Senegal, Algeria na Kenya katika Fainali za Kombe la Mataifa Afrika AFCON2019 zitakazofanyika mwezi Juni mwaka huu nchini Misri.