VIDEO: Maduka 82 Dar ya kubadilishia fedha hatarini/ Gavana BOT afichua mazito


Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania Profesa Florence Luoga amesema  jumla maduka 82 kati ya 87katika Mkoa wa Dar es Salaam  yamekutwa na viashiria vya utakatishaji wa fedha kwa kubadilisha fedha za kigeni kinyume na taratibu.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE
Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items