VIDEO: Selasini aibuka na sakata la Lema afunguka baada ya Spika kuagiza ahojiwe


MBUNGE wa Rombo Joseph Selasini amezungumzia juu ya hatua za adhabu zinazotolewa Bungeni ikiwemo ile yaBunge kutokufanya kazi na CAG,kufungiwa kutohudhuria vikao viwili mbunge Halima Mdee pamoja na Godbless Lema kuitwa kwenye kamati ya maadili kwa kauli yake ya kusema kuwa Bunge ni dhaifu.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.....USISAHAU KUSUBSCRIBE