Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti, Andrew Chenge akichania jambo katika semina ya mapitio ya Bajeti kuu ya Serikali ya mwaka 2018/2019 iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma hii leo |
Wajumbe wa Kamati ya Bajeti wakifuatila jambo katika semina ya mapitio ya Bajeti kuu ya Serikali ya mwaka 2018/2019 iliyotolewa na Ndg. Cliff Muga kwenye Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma |