F VIDEO: Ajali mbaya yatokea, mtu mmoja afariki duniia | Muungwana BLOG
https://c2p.cleverwebserver.com/dashboard/6a0bec4b-79ba-11ef-ad2b-06f0639468d1

VIDEO: Ajali mbaya yatokea, mtu mmoja afariki duniia


Mtu mmoja amefariki dunia na mwingine kujeruhiwa baada ya kugongwa na gari wakiwa na pikipiki alfajiri ya kuamkia leo maeneo ya barabara ya kuelekea Njiro na gari hiyo kutokomea kusikojulikana.

Akizungumza majeruhi wa ajali hiyo ambaye ni dereva wa pikipiki Ally Saidi amesema kuwa alikuwa anampeleka marehemu club lakini walipofika eneo hilo waligongwa na kuanzia hapo hakumbuki kilichoendelea mpaka kujikuta yupo hospital

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI...USIKOSE KU-SUBSCRIBE