Baadhi ya Mashabiki wa krabu ya yanga mjini Makambako mkoani Njombe wamechukizwa na kitendo cha uchaguzi wa krabu hiyo kuhusishwa na wanasiasa hali iliyo walazimu wengi wao kutokuridhihwa na kitendo hicho kwa katika mcheo wa mpira umebeba watu wa itikadi tofauti.
kutokana na hilo wamemtaka Rais wa TFF kujitokeza hadharani na kuomba radhi kwa mashabiki wa timu hiyo.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI...USIKOSE KU-SUBSCRIBE
