Wakala wa Vipimo Mkoani Manyara wamekuja na mpango mpya 2019 wa kukagua Vipimo vyote vinavyotumika katika Zahanati,Vituo vya a
Afya na Hospitali za Wilaya na Mkoa ili kuhakikisha vinakuwa na ubora unaokubalika.
Akitoa elimu hiyo katika Hospitali ya Mji wa Babati, Wakala wa vipimo mkoa wa Manyara Leo Patrick na Edward Hizza wamesema kwa sasa wakala wa vipimo katika sheria mpya ya mwaka 2019 inawataka kukagua vipimo vyote vinavyotumika katika huduma za Afya ili kunusuru wagonjwa kupatiwa madawa tofauti na uzito wao hali inayopeleka kuzidiwa na dawa hizo.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI..USIKOSE KU-SUBSCRIBE