Nyumbani Kiungo wa Barcelona kuhamia Evertoni jumla byMuungwana Blog 2 -6/19/2019 06:00:00 PM 0 Klabu ya Everton imekubali kutoa kitita cha £22m kwa Barcelona kwaajili ya kumsajili Andre Gomes. Mchezaji huyo ambaye alikua akikipiga kwenye klabu hiyo ya Uingereza kwa mkopo anatarajia kukamilisha usajili ndani ya masaa 24 yajayo. Facebook Twitter