Breaking News: Rais Magufuli afanya utezi huu, January Makamba atenguliwa

 Rais Magufuli amemteua George Boniface Simbachawene kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira kuchukua nafasi ya January Makamba ambaye uteuzi wake umetenguliwa.