VIDEO: Mbunge Mussa Mbarouk na Ngombale Mwiru wafukua makaburi ugomvi wa Lipumba na Maalim Seif


Mbunge wa Tanga Mjini, Mussa Mbarouk na Vedastus Ngomale Mwiru (Kilwa Kaskazini) wamefunguka kuhusu ugomvi wa Mwenyekiti wa CUF Taifa, Prof. Ibrahim Lipumba na Maalim Seif.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE