Huyu ndio beki bora wa msimu barani Ulaya

Beki wa klabu ya Liverpool Virgil van Dijk amefanikiwa kunyakua Tuzo ya beki bora wa msimu barani Ulaya.

Virgil van Dijk alikuwa na msimu mzuri zaidi na kuweza kuisaidia klabu yake kunyakuwa Ubingwa wa Klabu Bingwa Ulaya.
Mpya zaidi Nzee zaidi