Matokeo ya mechi zote ligi kuu Uingereza leo, Man City yatembeza kipigo cha "Mbwa Koko"


Klabu ya soka ya Manchester City imetembeza kipigo cha "Mbwa koko" katika ligi kuu ya Uingereza Jumamosi hii.

Timu hiyo ambayo ilikuwa inacheza na Brighton, imeibuka na ushindi wa mabao 4-0.

Mabao ya City yamefungwa na Kevin De Bruyne dakika ta pili ya mchezo, Sergio Agüero aliyefunga mawili (dakika ya 42 na 55) na Bernardo Silva (79).

Matokeo ya mechi nyingine zilizochezwa leo. 

Southampton (1-1) vs Manchester United
Crystal Palece (1-0) vs Aston Villa
Newcastle United (1-1) vs Watford
West Ham United (2-0) vs Norwich
Chelsea (2-2) vs Sheffield United
Burnley () vs Liverpool