Mwalimu Mkuu atuhumiwa kubaka na kumpa mimba mwanafunzi wa darasa la tano


Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Nyantore, iliyopo Kigoma, Jason Rwekaza (Katikati) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kigoma na kusomewa mashitaka saba.

Sita kati ya mashtaka hayo ni ubakaji na moja kumtia mimba mwanafunzi wake wa darasa la tano.

Mtuhumiwa huyo amekana mashitaka hayo na ametoka kwa dhamana hadi kesi yake itakaposomwa Agosti 19 2019.
Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items