Manara aliandika haya kwenye ukurasa wake huo,
Boss wangu amezuia press yangu ya kesho na huyu ni mtu namheshimu sana ,niwahakikishie ntaendelea kufanya kazi ktk Club hii ninayoishabikia sana
Sote sisi interest yetu ni Simba,hakuna kurudi nyuma hadi Wanasimba tutimize malengo yetu!!
Vita yetu sasa tuhamishie kwa Wabangu bangu.. Na tutawaambia kwa sauti kubwa.