Rais wa zamani wa Brazil kubadilishwa gereza

Rais wa zamani wa Brazil Luiz Inacio Lula da Silva, aliyehukumiwa kifungo cha miaka 8 na ushei jela kwa makosa ya rushwa na utakatishaji fedha, kubadilishwa gereza kutoka lile alilokuwemo kupelekwa gereza  la Sao Paulo.

Kwa mujibu wa vyanzo vya habari vya nchi hio mahakama imeamu kumuhamisha Lula (73) anayetumikia adhabu katika gereza la Cortiba katika sello ya peke yake,  kumpeleke katika  gereza la wafungwa 408 wa hadhi za juu liitwalo gereza la Tremembe.
Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items