Msanii wa muziki kati ya wasanii watatu wanaounda kundi la muziki la ‘The Mafik’, Mbalamwezi amefariki Dunia kutokana na majeraha ambayo yanahisiwa kuwa amepigwa.
Kwa mujibu wa taarifa.Uchunguzi zaidi unaendelea kuhusu kifo chake
Kwa taarifa zaidi endelea kufuatilia
Muungwana Blog.