Leo Agosti 19, Jeshi la polisi mkoani Morogoro limewafikisha mahakamani watu 30 katika mahakama ya mwanzo mjini Morogoro kwa tuhuma ya makosa ya uzembe na uzururaji kinyume cha Sheria kifungu namba 107 marejeo ya mwaka 2002.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHIBI......USISAHAU KUSUBSCRIBE