Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro amemuagiza kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora kuhakikisha anashirikiana na wananchi katika kudhibiti vitendo vya mauaji yanayotokana na imani za ushirikina, ubakaji pamoja na uhalifu wa uvunjaji.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI...USIKOSE KU SUBSCRIBE