VIDEO: Kamanda wa zima moto na DC wafunguka katika tukio la moto


Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mjini Gabriel Fabian Daqaro amesema kuwa moto unaondelea katika kiwanda cha Sunflag Kilichopo jijini Arusha umethibitiwa ambapo haujasambaa tofauni na kuteketeza Godaudi la Pamba huku Mkuu wa zima Moto Mkoa wa Arusha Semtana Yusuph akisema vifaa vipo vya kuthibiti moto yakiwemo magari

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI...USIKOSE KU SUBSCRIBE