VIDEO: Kocha Azam FC awapigwa mkwara Simba


Kocha msaidizi wa Azam FC, Iddi Cheche amesema wamejiandaa vizuri kuelekea mchezo wa Ngao ya jamii watakaocheza kesho dhidi ya Simba SC.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI......USISAHAU KUSUBSCRIBE