VIDEO: Kocha wa Simba SC amtambia kocha wa Azam/ Ajib, Manula na Mbrazil nje


Kocha wa magolikipa wa Simba SC Mwarami Mohammed, ametamba mbele ya kocha wa Aazam FC Idd Cheche pamoja na waandishi wa habari kuchukua kombe la Ngao ya Jamii ambalo watacheza kesho Jumamosi katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam majira ya s moja usiku.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE